Jamani hili la TRA kufunga biashara yangu kwa kutokuwa na mashine ya efd's lipo sawa au ni uonevu uliopitiliza?

Tatzo lamaisha ya bongo nikua kupata information za muhimu nijambo tata sana, nahii ndo inapelekea watu kupata hasara nakutapeliwa. Mfno kma watu wangeelewa mchakato mashine ya efd inayopitia mpaka kufanya kazi naamin kusingua nayoyote atakae tokea kukudanganya kua kuna mashine ya 250k. Nahata zile zinazotolewa bure nikwawafanya biashara maalum tena wanaangalia ukubwa wakodi mtu anayolipa sio yoyote anaweza kupata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…