GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Binafsi cjaona mahali ambapo mleta mada kaonesha kumdhihaki Maulana...Wewe endelea kuleta mzaha na maulana tu..unachokitaka toka kwake utakipata tu endelea hivyo hivyo kumzihaki
Binafsi cjaona mahali ambapo mleta mada kaonesha kumdhihaki Maulana...
Pole sana mkuu maana hata mwandiko wako leo hauna mautundu ya kipopoma.
Jamani c uende Hosp kwanza???
Serous???duuu. Pole sana.Hakuna mahala ninapo paogopa kama Hospitali kwani hofu yangu wanaweza kutaka kupima na vingine nikaanza kuishi kwa hofu na matumaini. Kama unajua dawa zozote nielekeze lakini kwenda Hospitali nadhani ni mtihani mgumu mno kwangu.
nenda pharmacy kuna dawa ya matone utapewa
Serous???duuu. Pole sana.