Jamani hivi huwa naeleweka?

sasa kama sisi vilaza ya nini unaendelea kutuandikia????????????
 
Nadhani watu hawakuelewi kwa SABABU wewe mwenyewe hujielewi kabisaaaa
 
Aaah,hapa leo nimekuelewa vizuri kabisa kuwa ulichokuwa unakifanya sio kuandika lugha ngumu wala laini bali ni mbinu zako za kitoto za kujipatia wingi wa threds ulizo tuma(kujiongezea points)
 
vukani Junior Member


Join Date: Wed Dec 2009
Posts: 9
Thanks: 0
Thanked 3 Times in 1 Post
Tatizo lipo hapo kwenye red , wewe bado bwana mdogo sana hapa jamvini, endelea kuandika 'ukikua' tutakuelewa tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…