The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,148
- 2,537
usikonde mpnz twende zetu kwa babu tukafanye mambo...
tumepeana zamu mimi naonekana mchana yeye anakuwepo usiku...hiyo ni mbinu ya ulinzi shirikishi wa kulinda ndoa!
Hebu ninong'oneze best ninani huyo hakupi usingizi.
Husninyo kwa vibabu!
leo umekosa mke wa kulala nae? Mpaka sasa uko macho unatafuta nini we mzee?