kaka upo nchi gani? Mbona kwa tz,hiyo ni kawaida 2?hata mwezi uliopita kuna ofisi walitangaza nafac za kazi kuna hr akamwambia kijana tafuta kilo 6 upate kazi,na kweli yule kijana akawa nayo akampatia,hata kwenye interview hakwenda wiki iliyopita ameripoti kazini!inshu sio kutoa,je unayo?ndio tulipofikia.