huna lako hapo.....kweli mtu wangu. Ila inaniuma kinoma ndugu zangu.
mpenzi wangu ananikatia simu, anaizima,nikifanikisha kuongea nae anakata atakama nimempigia mwenyewe, sometime anapokea wala aongei, jamani sijui nifanye nini? Nishaulini very sereous
.Mpenzi wangu ananikatia simu, anaizima,nikifanikisha kuongea nae anakata atakama nimempigia mwenyewe, sometime anapokea wala aongei, jamani sijui nifanye nini? Nishaulini very sereous
Mpenzi wangu ananikatia simu, anaizima,nikifanikisha kuongea nae anakata atakama nimempigia mwenyewe, sometime anapokea wala aongei, jamani sijui nifanye nini? Nishaulini very sereous
huyo achana nae hana mapenzi na wewe anaona kama unamsumbua ...
huwa nashangaa sana wanawake mnapo ng'ang'ania msipo pendeka usikute binti wa watu anakonda jamaa lipo sholi mwingine huko linacheka tu
hahahahaa Fidel80 umenichekesha ,,,unajua mwenzie atakuwa kapenda toka moyoni lakini mwenzie ahana mapenzi hata kidogo.
sijui huwa tunakuwaje !