Jamani huyu Raisi mbona hajiheshimu?

Jamani huyu Raisi mbona hajiheshimu?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2010
Posts
219,468
Reaction score
911,184
berlusconiWN_450x330.jpg
 
Jamani heshima ni kitu cha bure....na unapona umri umesogea mengineyo waachie vijana...................Yaani huyo babu anavyomkodolea huyo mlimbwende yaani hata haipendezi...........
 
fahari ya macho haina mzee wala kijana.ng'ombe hazeeki maini bwana!!!
 
By the way, we are just humans belonging to kingdom Animalia,class Mammalia and order Primates with our closer relatives monkeys and gorrilas.

Its force of nature.
 
Halafu kashkilia kabisa maeneo yake, nadhani kumeshaanza kuwaka moto!! huyu jamaa kwa vimwana! ana scandal za kutosha tu sawa na yule mwenzie wa ufaransa
 
Hata Paka Mzee anatamani Maziwa!!!!!!!!
 
Dah wakubwa wanafaudu. Natamanii ila chapaaa sinaa.
 
By the way, we are just humans belonging to kingdom Animalia,class Mammalia and order Primates with our closer relatives monkeys and gorrilas.

Its force of nature.

Phylum: CHORDATA, Genus HOMO, Species HOMO SAPIENS
 
Mbona mi naona kama anaangalia chini vile!!
 
Back
Top Bottom