PakaJimmy JF-Expert Member Joined Apr 29, 2009 Posts 16,199 Reaction score 8,761 Jan 7, 2011 #21 Human nature! No wonder!
Msandawe Halisi JF-Expert Member Joined Nov 5, 2010 Posts 647 Reaction score 351 Jan 7, 2011 #22 Raisi!!!!!!!!!!!!! Ni kama anamweleza nini hiviiii
Ubumuntu JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 14,345 Reaction score 10,885 Jan 7, 2011 #23 Siyo rais ni waziri mkuu aisee.
babu M JF-Expert Member Joined Mar 4, 2010 Posts 5,222 Reaction score 3,173 Jan 7, 2011 #24 Mwangalie mwi taliano mwingine Flavio Briatore....kwao vitendo kama hivyo ndio vinakupa heshima katika jamii
Mwangalie mwi taliano mwingine Flavio Briatore....kwao vitendo kama hivyo ndio vinakupa heshima katika jamii
NewDawnTz JF-Expert Member Joined Nov 15, 2010 Posts 1,667 Reaction score 362 Jan 7, 2011 #25 Safari_ni_Safari said: Kwa uswahili wake anaona ujiko kuwa na KONDA Click to expand... hahaaaa....NIMEIPENDA HII, duh! bonge la konda
Safari_ni_Safari said: Kwa uswahili wake anaona ujiko kuwa na KONDA Click to expand... hahaaaa....NIMEIPENDA HII, duh! bonge la konda
Junioroby Member Joined Nov 24, 2010 Posts 47 Reaction score 9 Jan 7, 2011 #26 hii balaa hatahivyo Mr preda inabidi ujitahidi kuficha hisia
Mzee wa Rula JF-Expert Member Joined Oct 6, 2010 Posts 8,169 Reaction score 3,351 Jan 7, 2011 #27 jcb said: Hata Paka Mzee anatamani Maziwa!!!!!!!! Click to expand... Tena fresh japo funda moja!!!!!
boma2000 JF-Expert Member Joined Oct 18, 2009 Posts 3,279 Reaction score 310 Jan 8, 2011 #28 Rutashubanyuma said: Click to expand... hapa hamna tatizo mtu akipita lazima uangalie unless kama wewe ni mtoto wa kiume la si riziki. Yaani hapa Balisconi yupo sahihi kabisa maana pia macho hayana pazia
Rutashubanyuma said: Click to expand... hapa hamna tatizo mtu akipita lazima uangalie unless kama wewe ni mtoto wa kiume la si riziki. Yaani hapa Balisconi yupo sahihi kabisa maana pia macho hayana pazia
boma2000 JF-Expert Member Joined Oct 18, 2009 Posts 3,279 Reaction score 310 Jan 8, 2011 #29 Safari_ni_Safari said: Mwamuonea tu....kwanza sio Rais ni Pinda wa Italia...HUYU JEE Click to expand... Nani zaidi na anaonyesha kuwa macho hayana pazia na urais si kuachana na ubinadamu
Safari_ni_Safari said: Mwamuonea tu....kwanza sio Rais ni Pinda wa Italia...HUYU JEE Click to expand... Nani zaidi na anaonyesha kuwa macho hayana pazia na urais si kuachana na ubinadamu
boma2000 JF-Expert Member Joined Oct 18, 2009 Posts 3,279 Reaction score 310 Jan 8, 2011 #30 babu M said: Originally Posted by Safari_ni_Safari Mwamuonea tu....kwanza sio Rais ni Pinda wa Italia...HUYU JEE Nani zaidi na anaonyesha kuwa macho hayana pazia na urais si kuachana na ubinadamu You may judge yourself. Click to expand...
babu M said: Originally Posted by Safari_ni_Safari Mwamuonea tu....kwanza sio Rais ni Pinda wa Italia...HUYU JEE Nani zaidi na anaonyesha kuwa macho hayana pazia na urais si kuachana na ubinadamu You may judge yourself. Click to expand...
minda JF-Expert Member Joined Oct 2, 2009 Posts 1,068 Reaction score 67 Jan 8, 2011 #31 huyu si rais! ni waziri mkuu bellusconi!