Jamani huyu rita kumbe ni mswahili?


.............................,,,,,,,,,,.................sijui nikwambieje maana sijaelewa kitu hapo...
 
.............................,,,,,,,,,,.................sijui nikwambieje maana sijaelewa kitu hapo...
Hapo JF ndiyo inapopoteza maana,mtu anakurupuka anaandika chochote anachotaka,mkuu hapa hata ukikesha uwezi kuelewa kitu!!
 

Sasa nyie wakaka si mnasema eti msipowadanganya wadada kuwa mnakula tu na kuondoka hawakubali mle tundi? na wadada ndo wameshawajulia hivyo hakuna kukwambia kwamba wewe unaonja tu wenye hatimiliki yupo, mpaka wapate kile kitu wanakuwa wanahitaji kwenu. Na kikishapatikana wanasepa au wewe unasemaje? Pole lakini hilo ni fundisho next time utakuwa makini zaidi.
 

simba mkali = system failure
 

And thats da gold digger thing,she gains at your loss. Am afraid if you were da victim
 
Muwe mnaulizaga kwanza, sio mnaingia kichwa kichwa tu. Siyo kila kizuri ni lulu
 
 
Moderator unaninyima haki yangu ya msingi ya kuona andishi la tusi nililotukanwa na watu waliovamia JF kwa nia ya kuvunja heshima kubwa JF iliyojijengea kwa muda mrefu!
Kwa nini unapenda kuhukumu watu, nani kakutukana? nani mvamizi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…