Jamani hv majna ya tcu ni sawa na ya loan board?

me sjayaona coz net inazingua sana

kule tcu kuna majina mengne ya previous lonee yamewekwa,hawa ni wale watu ambao wamewah kusoma vyuo miaka iliyopita then kwa sababu tofauti hawakumaliza kwa hyo mwaka huu ndio wameaply kupitia tcu,ila cjajua wako wangap mpaka sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…