mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Jamani nahisi wife naye yuko JF lakini hatujuani! Halafu hakuna anayeongeleaga kuhusu JF tukiwa pamoja, so hakuna anayejua kama mwenzie yuko humu au la. Mi na wife tukishaingia home ni family time, hakuna cha kugusa PC wala kuhamishia ofisi nyumbani, labda kuwe na kazi ya ofisi ambayo ni so urgent.
Kasheshe ni pale tunapokuwa tunapiga story za kawaida ndo nachoka! Unakuta mapwenti mengi tu ni ya humu humu JF, tena mengine nili-comment mimi mwenyewe au mengine alicomment mwanamke (sa sijui ni yeye!). Kwahiyo najikuta niko ktk dilemma fulani hivi yaani we acha tu.......
Haya kwa ofisi nako kuna vituko vyake. Kuna jamaa 3 tunashare ofisi. Nao pia hatujuani kuhusu uanachama wetu JF. Kichekesho ni kwenye story sasa wakati wa lunch. Unashangaa mtu anaongelea pwenti ambayo umeimaliza kupost muda huo huo unafunga pc. Sasa unajiuliza hivi huyu ananijua au? basi sometimes huwa nabaki naguna tu mmh mmh manake dah .......eti sipendi tu kujulikana na marafiki wa karibu (workmates, roommates etc including mai-waifu wangu) kuwa niko JF
Hivi na wewe hii hali imeishakutokea? hebu tupe uzoefu wako basi..... au nishauri kuhusu hii hali yangu!
Kasheshe ni pale tunapokuwa tunapiga story za kawaida ndo nachoka! Unakuta mapwenti mengi tu ni ya humu humu JF, tena mengine nili-comment mimi mwenyewe au mengine alicomment mwanamke (sa sijui ni yeye!). Kwahiyo najikuta niko ktk dilemma fulani hivi yaani we acha tu.......
Haya kwa ofisi nako kuna vituko vyake. Kuna jamaa 3 tunashare ofisi. Nao pia hatujuani kuhusu uanachama wetu JF. Kichekesho ni kwenye story sasa wakati wa lunch. Unashangaa mtu anaongelea pwenti ambayo umeimaliza kupost muda huo huo unafunga pc. Sasa unajiuliza hivi huyu ananijua au? basi sometimes huwa nabaki naguna tu mmh mmh manake dah .......eti sipendi tu kujulikana na marafiki wa karibu (workmates, roommates etc including mai-waifu wangu) kuwa niko JF
Hivi na wewe hii hali imeishakutokea? hebu tupe uzoefu wako basi..... au nishauri kuhusu hii hali yangu!