Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi naona ni michongo tu na kujuana....
Unafikiri kuna maslahi gani zaidi?
Mshahara wao upo juu zaidi ya walimu wa secondary na malupulupus mengine
Asikudanganye mtu.....
Hali ile ile..
BTW nimekumiss sana
hiyo ni kwa waliosoma bed na sometimes kujuana kunahitajika
Aaaah wapi wewe, mshahara ni tofauti....
mi pia miss u
Aaaah wapi wewe, mshahara ni tofauti....
mi pia miss u
Tulipigwa changa la macho na BED zetu, wakaenda watu wa BA
hapo kujuana ndo inahusu...
Mshahara wao upo juu zaidi ya walimu wa secondary na malupulupus mengine
Umesoma chuo gan?
Njoo PM basiii
Lusungo unataka kuntongoza au?
hahahaha mbavu zangu