Jamani Injinia yuko wapi

Jamani Injinia yuko wapi

Tumsifu Samwel

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2007
Posts
1,407
Reaction score
161
Join Date26th February 2008Last
Activity17th january 2010 07:26 AMAvatar
avatar9548_3.gif


Jamani huyu member amepotelea wapi?
 
Amepata tenda ya kujenga barabara huko central Tanganyika
 
Angalizo: Usije ukachanganya kati ya Injinia na Engineer, ni watu wawili tofauti humu (kwa ID)! Ninavyojua mimi yule Engineer ni mfuasi mkubwa wa siasa za Kyela, ila Injinia sijafuatilia sana mabandiko yake. Ni angalizo tu!
 
Yo Yo kapotea
Chaku yuko wapi?
YNIM kenda wapi?
Penny wapi?
Kelly wapi?

kuna watu wengi sijui wako kwenye mchakato wa uchaguzi ...missing you guys
 
Back
Top Bottom