Tumsifu Samwel JF-Expert Member Joined Jul 30, 2007 Posts 1,407 Reaction score 161 Apr 29, 2010 #1 Join Date26th February 2008Last Activity17th january 2010 07:26 AMAvatar Jamani huyu member amepotelea wapi?
Join Date26th February 2008Last Activity17th january 2010 07:26 AMAvatar Jamani huyu member amepotelea wapi?
Nkamangi JF-Expert Member Joined Mar 17, 2008 Posts 641 Reaction score 32 Apr 29, 2010 #2 Amepata tenda ya kujenga barabara huko central Tanganyika
Tumsifu Samwel JF-Expert Member Joined Jul 30, 2007 Posts 1,407 Reaction score 161 Apr 29, 2010 Thread starter #3 Nkamangi said: Amepata tenda ya kujenga barabara huko central Tanganyika Click to expand... Ana itajika sana Hapa, hasa kipindi iki cha kuelekea uchaguzi mkuu,Huyu atakuwa ana mpigia kampeni rafiki yake Christophe
Nkamangi said: Amepata tenda ya kujenga barabara huko central Tanganyika Click to expand... Ana itajika sana Hapa, hasa kipindi iki cha kuelekea uchaguzi mkuu,Huyu atakuwa ana mpigia kampeni rafiki yake Christophe
Sinkala JF-Expert Member Joined Dec 22, 2008 Posts 1,773 Reaction score 688 Apr 29, 2010 #5 Angalizo: Usije ukachanganya kati ya Injinia na Engineer, ni watu wawili tofauti humu (kwa ID)! Ninavyojua mimi yule Engineer ni mfuasi mkubwa wa siasa za Kyela, ila Injinia sijafuatilia sana mabandiko yake. Ni angalizo tu!
Angalizo: Usije ukachanganya kati ya Injinia na Engineer, ni watu wawili tofauti humu (kwa ID)! Ninavyojua mimi yule Engineer ni mfuasi mkubwa wa siasa za Kyela, ila Injinia sijafuatilia sana mabandiko yake. Ni angalizo tu!
FirstLady1 JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 16,789 Reaction score 5,401 Apr 30, 2010 #6 Yo Yo kapotea Chaku yuko wapi? YNIM kenda wapi? Penny wapi? Kelly wapi? kuna watu wengi sijui wako kwenye mchakato wa uchaguzi ...missing you guys
Yo Yo kapotea Chaku yuko wapi? YNIM kenda wapi? Penny wapi? Kelly wapi? kuna watu wengi sijui wako kwenye mchakato wa uchaguzi ...missing you guys