Jamani jamani msaada wa haraka kwa matokeo haya!.

Gambaz

Member
Joined
Oct 9, 2011
Posts
75
Reaction score
2
Jamani mdogo wangu wa kike amepata Div IV.31 yan mchanganuo ni kama ufuatavyo: Civ-D,Hist-F,Geo-F,Kisw-D,Engl-D,Lit-D,Bio-F and B/math-F. Jamani nisaidieni anaweza fanya nini kwa matokeo hayo?.
 
Ushauri aende palanye UBUNGO PLAZA kuna chuo kinaitwa MUST COLLEGE kinato Spatial Technology na kimesajiliwa na VETA.Kuna mdogo wangu alipata matokeo kama hayo amejiunga pale na anamaliza mwezi wa 8 na akifanya vizuri anaendelea na Diploma katika vyuo ambavyo viko chini ya NACTE kama Ardhi Morogoro ama Tabora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…