jamani.....!!!! jamani.....!!!!

 
mshukuru Mungu umeyajua hayo mapema

kisicho riziki hakiliki wangu...............

pole sana ......................
 
Pole sana mkuu ila hongera...Ilikuwa uuziwe Mbuzi kwenye kiroba.
 
pole sana luku_77
 
Last edited by a moderator:
mshukuru Mungu umeyajua hayo mapema

kisicho riziki hakiliki wangu...............

pole sana ......................

ni kweli! kubwa lijalo lililopita ni dogo!
 
mii najipongeza sana kutipa katika mtihani ambao ningefeli! ilikuwa nimepotea ningeishi bila furaha ambayo watu wengi hutarajia maana kwa iman yangu mimi ukioa ndio basi. ni kifo ndicho kitawatenganisha. mungu ni kila kitu anza nae maliza nae utashinda mtihan ujao
 
Watu kama hawa ni wa kuwapa shit tu...
 
unajuwa ukimtanguliza mungu kwa kila jambo lililo baya atakuepushia nigekuwa mwenye tamaa za mwili kupitiliza ningeishi na mtoto asie kuwa wangu,

sasa kumbe ulishachukua maamuzi.
 
mi naona umeleta fumbo na sio unataka ushauri maana kila kitu umeweka wazi na chochote utachoamua kwako ni sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…