jamani.....!!!! jamani.....!!!!


Katoe sadaka ya shukrani, ulikuwa ushikishwe mzigo huo.
 
swali mlienda pima ngoma au uzazi? Je ukpma ngoma na uzaz wanapma?
 
ushauri wangu nakushauri uachane nae maadamu sio baba watoto mtarajiwa wa kiumbe kilichoko tumboni,tafuta mwanamke mwingine,mbona wanawake wako wengi tu?hapo kitu alichotaka kufanya ni kukubambikizia hiyo mimba kuwa ni ya kwako na alikuwa anataka kukupa mzigo wewe ukastukia dili hivyo amua kuvua gamba ndugu yangu.hata endapo utamsamehe ukaamua kumwoa hakika hataweza kuwa mwaminifu katika ndoa yako bali itakuwa ndoa ya malumbano kila uchwao.mpaka anafikia hatua ya kubeba mimba ni kwamba anakidumu wake anayempenda hebu jiulize kwanza kaka tuko wangapi?tulizana maisha mafupi.
 
pole mkuu lakini ndio dada zetu walivyo hawana ukweli wako radhi kuangamiza hata kugawa magonjwa bila hata kujua nini wezi wao kitawagarimu kimaisha
 
Sasa kakaangu uamuzi wako wa kupima kwanza umekusaidia sana kuepuka kulea mwana asiye wako! Mshukuru sana Mungu aliyekuongoza kwenye jambo hili. Furahi na shangilia na huyo dada mpishe apite mbali. Tafuta mwingine.
 
kuchelewa chelewa unaonekana zobaaaaaaaaaaaaa! siyo enzi za mwalimu hizi, ukipendwa mnamalizana leo leo, mengine baadaye, ukiwa kama mwanaume hutakiwi kuwa Mwoga kabisa, isipokuwa maamuzi sahihi....familia ya nani ipo tayari kulea kisicho chaoooooo?
 
Sasa kakaangu uamuzi wako wa kupima kwanza umekusaidia sana kuepuka kulea mwana asiye wako! Mshukuru sana Mungu aliyekuongoza kwenye jambo hili. Furahi na shangilia na huyo dada mpishe apite mbali. Tafuta mwingine.
asante ndugu,!
nakutakia siku njema!
 
kuchelewa chelewa unaonekana zobaaaaaaaaaaaaa! siyo enzi za mwalimu hizi, ukipendwa mnamalizana leo leo, mengine baadaye, ukiwa kama mwanaume hutakiwi kuwa Mwoga kabisa, isipokuwa maamuzi sahihi....familia ya nani ipo tayari kulea kisicho chaoooooo?
likuepukalo linakheri ujaja sii kupata bali ni kufanikisha malengo!
 
Dah, nimekuonea huruma sana kaka yangu, ukizingatia nilikuwa nakufatilia tangu ulipotoa tangazo la kutafuta mchumba hapa JF, ulipompata ukatujulisha kwa furaha zote nasi tukafurahi pamoja nawe, ukatutaarifu na kutukaribisha kwenye sherehe ya kumvalisha pete huyo laaziz wako...Dah..

Kumbe mwisho wa siku ndio umepata bonge la surprise hivyooo!! Ila mi naomba tuu nikupe onyo my brother, usikurupuke kumpata mpenzi leo halafu baada ya miez mitatu tuu useme unaoa.. Dunia ya sasa yataka kuchunguzana ndugu hata kwa miezi sita walau.. Natumaini utakuwa umejifunza..! Pole saaana bro!
 
Kusoma hujui Hata kuona kwa macho nako huoni? kazi kwelikweli......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…