Mwanajamii JF-Expert Member Joined Mar 5, 2008 Posts 7,063 Reaction score 70 Nov 7, 2010 #21 Kwa nini unaona ni muhimu sana kwa Obama kupongeza na kama hajapongeza unaona tutakosa nini hapa Tanzania. Kuapishwa kumeangukia weekend si rahisi kupata habari hizo hadi kesho siku ya kazi.
Kwa nini unaona ni muhimu sana kwa Obama kupongeza na kama hajapongeza unaona tutakosa nini hapa Tanzania. Kuapishwa kumeangukia weekend si rahisi kupata habari hizo hadi kesho siku ya kazi.
Mamushka JF-Expert Member Joined Feb 17, 2010 Posts 1,595 Reaction score 100 Nov 7, 2010 #22 Huo si umafia ni ubabaishaji, na uswahili hata wa ma mafia wanatumiaga akili zao.