Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msije mkaunganisha na free marson manake siku hizi hata ukikohoa tu nayo ni hiyo. Ufundi tu kujitia kujengea makaburi ila kutitia ni lazma kama foundation haikuwa imara.
iundwe kamati ya 'Ukarabati wa Kaburi'MAAJABU! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, kaburi la aliyekuwa nguli wa filamu za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba The Great limeanza kuweka nyufa na kutitia ikiwa ni siku 5 tu tangu alipozikwa. KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA KIZAAZAA KIKUBWA CHATOKEA KWENYE KABURI LA KANUMBAGUMZO LA JIJI
Duh, mafisadi lazima walipiga hela hapo kaburi likajengwa chini ya viwango..!
MAAJABU! Katika hali isiyokuwa ya kawaida, kaburi la aliyekuwa nguli wa filamu za Kibongo, marehemu Steven Charles Kanumba The Great limeanza kuweka nyufa na kutitia ikiwa ni siku 5 tu tangu alipozikwa. KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA KIZAAZAA KIKUBWA CHATOKEA KWENYE KABURI LA KANUMBAGUMZO LA JIJI
yaani sijui nilikuwa dunia gani, nilikuwa simfahamu kabisa kanumba
mpaka siku aliyokufa. Yaani ajabu kwelikweli sijui imekuwaje nikashindwa
kumfahamu mtu huyo hapo kabla.