Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafanya biashara ya kukopesha duka, Bongo Mjini.
Weka majina tuwajuwe wakopaji
Nimeingizwa mjini kwani kidogo.Tangia nimeandika hapa waneshapiga simu dukani hao watu.bonge la loss natamani kulia .
Nimeingizwa mjini kwani kidogo.Tangia nimeandika hapa waneshapiga simu dukani hao watu.bonge la loss natamani kulia .
Hakuna urafiki kwenye biashara
Kwani mpaka umewakopesha unawajua
Na sio kuwajua tu ni marafiki
Wasipokulipa ingia magomeni kodisha watu waende wakawachambe na matarumbeta
Hilo duka lako unafanya kazi ya kukopesha? kama ni hivyo kuna utaratibu wake wa maduka ya kukopesha ili mtu akishindwa uweze kukamata kitu so lazima uwe na mikataba ya kukopeshana...Jamani sio kila mtu anaweza kuwa mfanyabiashara waoneni kwanza Wataaram wa Biashara ndipo mjiingize kichwa kichwa. Kumbuka Biashara ni Kupata na Kukosa inaelekea wewe ushakosa vumilia then ukioa taabu achana nayo
With all the money you stinking rich, rich husband, fisadi parents and all that not still unataka kulizwa na wadeni? Ungewadharau tu. Waambie mna shida nyie, married and dating poor niggaz i forgive you like Jesus forgave your sins. Watakoma kukopa.
Hawa watu nawajua .Hilo duka lako unafanya kazi ya kukopesha? kama ni hivyo kuna utaratibu wake wa maduka ya kukopesha ili mtu akishindwa uweze kukamata kitu so lazima uwe na mikataba ya kukopeshana...Jamani sio kila mtu anaweza kuwa mfanyabiashara waoneni kwanza Wataaram wa Biashara ndipo mjiingize kichwa kichwa. Kumbuka Biashara ni Kupata na Kukosa inaelekea wewe ushakosa vumilia then ukioa taabu achana nayo
Si uwataje Natalia!
Ili hata wakija kwangu nami niwape za Uso.
Dawa ya deni kulipa,japo mdaiwa hafungwh.
Mdaiwa anaweza kufungwa lakini ndio hivyo akiwa jera utamgharimia wewe.
Jamani Mimi ninahasira sana na wadada wamjini wamekopa vitu hawarudushi pesa .Nitawaanika majina yenu gazetini.rudisheni pesa banaa,nimechoka kuwatafuta
Hakuna urafiki kwenye biashara
Kwani mpaka umewakopesha unawajua
Na sio kuwajua tu ni marafiki
Wasipokulipa ingia magomeni kodisha watu waende wakawachambe na matarumbeta
Jamani Mimi ninahasira sana na wadada wamjini wamekopa vitu hawarudushi pesa .Nitawaanika majina yenu gazetini.rudisheni pesa banaa,nimechoka kuwatafuta
mkuu,kumbe hata USA kuna magomeni na matarumbeta ya kusutana?
I respect privacy zao wamenipigia wote wameniambia mwisho wa mwezi wamesema wataumbuka vibaya wataleta