With all the money you stinking rich, rich husband, fisadi parents and all that not still unataka kulizwa na wadeni? Ungewadharau tu. Waambie mna shida nyie, married and dating poor niggaz i forgive you like Jesus forgave your sins. Watakoma kukopa.
khaaaaaaaaaaaaa!Ni biashara yangu mwanamke unasimama hata mwanaume awe Vipi .its my business watu wanakopa hawarudishi.Nanunua Vipi in dollars na tax na usafiri .wanakuwa hawana hela ya kutosha.kuna maharusi wali order nguo zao wasimamizi na wazazi .mpaka Leo hawajalipa .nipo Kwenye big loss an sidhani Kama watanirudishia na mume wangu ameniona Kama I play games
Acha kujishauwa wewe, kama unajuwa Privacy kilichokuleta hapa ni nini hasa!! hovyoooooo.I respect privacy zao wamenipigia wote wameniambia mwisho wa mwezi wamesema wataumbuka vibaya wataleta
khaaaaaaaaaaaaa!
sasa kwani ile chai na shopiing unafanyiwa saa ngapi?na muda wa kununua kwa dollars ,plus taz na kusafirisha unafanya saa ngaaapi shostiii!
ah mi unanichosha bana! BADILI TABIA kuja pande hii
ungemalizia hiv shosti................................
na mume wangu atawalipia deni lenu i run my married mamamngu fisadi anaandikwa magazetini nina watoto watatu mwingine njiani watu muwe na akili wealthy nina miaka 35 kwetu kuna swimming pool babangu ni white!nimezaliwa geneva
ahahahahhahah ngoja mwaJ aje amalizie vingine!
Kwi kwi kwi kwiiiiiiii! Mie naongezea "Don't marry a first born ni matatizo.........."
"Mama mkwe akija kwako na wajukuu zake tupa nje mizigo yao........."
Jamani Mimi ninahasira sana na wadada wamjini wamekopa vitu hawarudushi pesa .Nitawaanika majina yenu gazetini.rudisheni pesa banaa,nimechoka kuwatafuta
sasa hyo ya mama mkwe si asavali
sa hizi huko kwenye thread ya karaha ya mama mkwe inanifanya nijute kuoa mke msomi sana
nenda ukaone mwalimu wako anachoongea!
lol una kazi sana head girl wa darasa la natalia!
af mwite na ruttashobolwwa kabisaaaa!
Ni biashara yangu mwanamke unasimama hata mwanaume awe Vipi .its my business watu wanakopa hawarudishi.Nanunua Vipi in dollars na tax na usafiri .wanakuwa hawana hela ya kutosha.kuna maharusi wali order nguo zao wasimamizi na wazazi .mpaka Leo hawajalipa .nipo Kwenye big loss an sidhani Kama watanirudishia na mume wangu ameniona Kama I play games
sasa hyo ya mama mkwe si asavali
sa hizi huko kwenye thread ya karaha ya mama mkwe inanifanya nijute kuoa mke msomi sana
nenda ukaone mwalimu wako anachoongea!
lol una kazi sana head girl wa darasa la natalia!
af mwite na ruttashobolwwa kabisaaaa!
sasa, kwa list hii, kipi utanunua kwa keshi? Au poda na wanja? Maana tunajuwa dawa ya meno bwana mkubwa huwa anarudi nayo...Jamani eeh, mwanamke wa mjini madeni eeh! Ndo sifa kuu! Tena yawe madeni ya blauzi, leggings, vyupi na bra, madera hadi mitandio. Viatu na mapochi ya rangi zote usiulize! Lol
Seriously kuna siku mkaka alisema ana madeni ya nguo na viatu etc ya tshs 2M! Nilitaka kuzimia.
sasa, kwa list hii, kipi utanunua kwa keshi? Au poda na wanja? Maana tunajuwa dawa ya meno bwana mkubwa huwa anarudi nayo...
khaaaaaaaaaaaaa!
sasa kwani ile chai na shopiing unafanyiwa saa ngapi?na muda wa kununua kwa dollars ,plus taz na kusafirisha unafanya saa ngaaapi shostiii!
ah mi unanichosha bana! BADILI TABIA kuja pande hii
With all the money you stinking rich, rich husband, fisadi parents and all that not still unataka kulizwa na wadeni? Ungewadharau tu. Waambie mna shida nyie, married and dating poor niggaz i forgive you like Jesus forgave your sins. Watakoma kukopa.
ungemalizia hiv shosti................................
na mume wangu atawalipia deni lenu i run my married mamamngu fisadi anaandikwa magazetini nina watoto watatu mwingine njiani watu muwe na akili wealthy nina miaka 35 kwetu kuna swimming pool babangu ni white!nimezaliwa geneva
ahahahahhahah ngoja mwaJ aje amalizie vingine!
kkkkkkkk kudadadeki! nimechekaje!Hakuna urafiki kwenye biashara
Kwani mpaka umewakopesha unawajua
Na sio kuwajua tu ni marafiki
Wasipokulipa ingia magomeni kodisha watu waende wakawachambe na matarumbeta