Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Wazima ,bila kupoteza muda ngoja niende kwenye mada
Na nyie kina dada acheni kusimulia mambo mazuri mnayofanyiwa na wapenzi wenu ona sasa yaliyomkuta ndugu wa rafiki yangu.
Iko hivi, rafiki yangu kanipa mkasa ambao umenigusa sana! Ana ndugu yake ambae aliku na mpenzi wake. Mapenzi kama yote, mahaba ya kihindi akawa anamsimulia rafiki yake kuhusu vinono anavyopewa na babe pia akawa anampa aongee naye kwa simu.
Hakujua kua yule rafiki alikua anatamani nayeye apate vile vitu alivyokua anapewa yeye. Basi akawa anajidai anamsapoti rafiki yake kumbe anatafuta namna ya kumpata shemeji yake.
Basi siku moja yule dada akaomba waende nae kwa shemeji yake bila wasiwasi akakubaliwa wakaenda wote walipofika kwa shemeji bi dada hakufanya kosa alihakikisha anachukua namba ya shemeji yake na ndio mchezo ulipoanzia.
Akaanza kuwasiliana na shemeji mapaka akapindua meza tena kwa kishindo kikuu! Ndugu wa rafiki yangu anakuja kushtuka anasikia rafiki yake anataka kuolewa na anaolewa na mpenzi wake.
Ushauri kama una rafiki yako usimwambie mazuri ya shemeji yake msimulie mabaya tu na kamwe usiwaweke karibu utaumia tu siku moja.
Na nyie kina dada acheni kusimulia mambo mazuri mnayofanyiwa na wapenzi wenu ona sasa yaliyomkuta ndugu wa rafiki yangu.
Iko hivi, rafiki yangu kanipa mkasa ambao umenigusa sana! Ana ndugu yake ambae aliku na mpenzi wake. Mapenzi kama yote, mahaba ya kihindi akawa anamsimulia rafiki yake kuhusu vinono anavyopewa na babe pia akawa anampa aongee naye kwa simu.
Hakujua kua yule rafiki alikua anatamani nayeye apate vile vitu alivyokua anapewa yeye. Basi akawa anajidai anamsapoti rafiki yake kumbe anatafuta namna ya kumpata shemeji yake.
Basi siku moja yule dada akaomba waende nae kwa shemeji yake bila wasiwasi akakubaliwa wakaenda wote walipofika kwa shemeji bi dada hakufanya kosa alihakikisha anachukua namba ya shemeji yake na ndio mchezo ulipoanzia.
Akaanza kuwasiliana na shemeji mapaka akapindua meza tena kwa kishindo kikuu! Ndugu wa rafiki yangu anakuja kushtuka anasikia rafiki yake anataka kuolewa na anaolewa na mpenzi wake.
Ushauri kama una rafiki yako usimwambie mazuri ya shemeji yake msimulie mabaya tu na kamwe usiwaweke karibu utaumia tu siku moja.