Jamani kuapply kazi serikalini na Masters ni kosa?

tueleze una BA ktk field ipi au masters katika field ipi, mbona kazini kwangu mnahitajika tu, sema field yako kaka wote tulihangaika kama wewe lkn tulipata
 
tueleze una BA ktk field ipi au masters katika field ipi, mbona kazini kwangu mnahitajika tu, sema field yako kaka wote tulihangaika kama wewe lkn tulipata

field ya administration kote BA na MA.....Highest level Masters in Business Administration (MBA)......
 

To be honest this is one of the best reply I ever seen since I join jamii forums,

I wish one day senetor aje kujibu watu hivi jamvini na siku hiyo nitajitoa MMU na chit chat na kuamia jukwaa la siasa
 
Reactions: SG8
To be honest this is one of the best reply I ever seen since I join jamii forums,

I wish one day senetor aje kujibu watu hivi jamvini na siku hiyo nitajitoa MMU na chit chat na kuamia jukwaa la siasa

Thank you very much for your appreciation and acknowledgement.
 

My view:You are one of the great thinker in this Forum!!!
God bless You..
2TIMOTHY 4:22 (NIV)
 
Reactions: SG8
Nami nichangie hivi,karibuni nimeona application ya kijana amemaliza Mzumbe University-MPA na pia ana BA-ADMINISTRATION.Ofisini kwangu alihitajika mtu wa HR.Watu wengi waliomba hiyo nafasi lakini mapungufu mengi nitayatolea kwa huyo kijana aliye na MPA katika mazingira yafuatayo.
1.Application letter yake ilikuwa mojawapo ya mbovu kabisa.Aliandika kwa mkono na mwandiko wenyewe ni kama vile akusoma darasa la pili.Ni vema barua ya maombi ikachapwa kwa computer isipokuwa kama ni SHARTI iandikwe kwa mkono.
2.CV yake ilikuwa shallow sana.Hivi mara nyingi wanafunzi wanakwenda kwenye intership-kwa nini mnatafuta kazi hata kama hujaajiriwa kulemba sehemu na kuipa nguvu inayostahili na kuonyesha kazi ulizofanya.Wakenya ni wazuri sana katika kutengeneza sehemu hizo hata kama hajawahi kufanya kazi na hana experience ya kutosha ataonyesha na ukijichanganya kumwita kwenye interview inakula kwako.
3.Nashauri andika cv yake kama inayoishi siyo kama imekufa.Onyesha kama hata unajitolea kufanya kazi kulingana na elimu yako kwenya shirika la kibiashara au NGO.NGO ni nyingi sana siku hizi jiattach kwenye mojawapo na utapata mafanikio.
4.Watafuta kazi hasa wasasa hawana exposure na curiosity.Jitahidini pia unajiweka vizuri na job description na job summary.
5.Vyuo vingi vimeendelea kuchemka kushindwa kuwekeza kwenye idara za students career counseling kuwapa wanafunzi upeo mpana juu ya job opportunities kwa miaka inakuja.
 

Apply kwa kutumia shahada yako ya kwanza..unaweza kufanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…