Jamani kuleni kistaarabu, hadi sahivi nipo hospital watu wanne wamelazwa chanzo msosi

Jamani kuleni kistaarabu, hadi sahivi nipo hospital watu wanne wamelazwa chanzo msosi

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Habari wadau!
Asubuhi nimepigiwa simu kwamba kuna mtu kazimia ghafla alikuwa anapata chai!; tukampeleka Hosp. Fasta katundikiwa drip.
Lakini cha ajabu nimekaa hospitali mpaka sahivi mchana huu nimeshuhudia watu wengine watatu wameletwa kutoka sehemu mbali mbali wakiwa hoi baada ya kula;

Wito;
Tukumbuke kula kistaarabu hususani tuliokuwa tumefunga, matumbo yetu yanataka kula kila kitu lakini tujaribu kujizuia.
 
We umealikwa nyumba kumi na zote umekwenda "Una tumbo au JABA?"[emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji377] [emoji377] [emoji377]
 
Leo watapigwa bomba sana kwanini mtu ule hivyo .?
 
Back
Top Bottom