wana jf. Nipo hapa katika chuo kikuu cha kumbukumbu ya sebastian kolowa (sekomu), leo kuna mahafali ya kwanza ya chuo tangu kuwa fully fledge university toka tuma makumira cha kushangaza nimebahatika kufuatilia swala la maandalizi ya sherehe na nakuja na yafuatayo kwanza, mhitimu aliye fanya vizuri ametoka ka tika kitivo cha elimu maalum na amepata first class ya 4.7 with honours, pili mkuu wa kitivo cha sheria mh. Judge . Mushi kwenye ratiba inaonesha kuwa ndo atakuwa anaita majina ya watakao tunukiwa astashahada, stashahada na shahada na mgeni rasmi mch. Stevin munga mkuu wa chuo sekomu swali langu je judge kama judge huyu ambaye ana shahada ya kwanza na school of law anastahili kuendelea kufindisha watoto wetu,ikumbukwe huyu mtu i mean judge ni mstaafu na alikuwa mkuu wa chuo cha ija lushoto, chuo mara baada ya kukosa dr. Wala prof. Ndo wakamtafuta na leo ndo watalidhihirishia taifa kuwa judge mushi anazo sifa za kuwa mkuu wa kitivi tcu mpo? Jamani nisaidieni kwa hili