Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
jamani ndugu zangu.haamini alichokipata matokeo haya..... amepata division four na alikuwa anasoma shule ya FLANI YA HAPA DAR.....nilimuuliza sababu....za kufaulu akanijibu......
kwa matokeo yake...hayo.....
1.anaweza kwenda chuo na akaanza kusoma cheti mpaka degree
2.anaweza kwenda ualimu
3.anaweza kujiunga na polisi
4.haamini kama angepata matokeo haya
kwaiyo alichofurahi yeye anaweza kusonga mbele......tofauti na mtu mwenye zero.....
SWALI LA LANGU NI JEE? HIVI NI KWELI TUMEFIKA HATUA MTU UKIPATA FOUR UNAFURAHI...
kwa matokeo yake...hayo.....
1.anaweza kwenda chuo na akaanza kusoma cheti mpaka degree
2.anaweza kwenda ualimu
3.anaweza kujiunga na polisi
4.haamini kama angepata matokeo haya
kwaiyo alichofurahi yeye anaweza kusonga mbele......tofauti na mtu mwenye zero.....
SWALI LA LANGU NI JEE? HIVI NI KWELI TUMEFIKA HATUA MTU UKIPATA FOUR UNAFURAHI...