Jamani kuna niliyemkosea mbona kila mara radi inapiga tu mkabala na dirisha langu ghetoni?

Unakumbuka uliweka thread hapa kuhusu "KELELE ZA WALOKOLE USIKU" haya sasa................ malizia hapo
hahahahahhaha
mbe!
 
Noo mamba ni malagarasi na kusini kigoma ila mjini na kasulu kibondo full kutumiwa vitu
 
Usiseme miaka 80 ndio utakufa, sema muda wangu ukifika nitaondoka, hakuna anayeijua kesho, cha msingi umejiandaaje?
sema Mungu katuahidi miaka 70 ukiwa na nguvu 80 .. mi nasimama na ahadi yake
 
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
sema Mungu katuahidi miaka 70 ukiwa na nguvu 80 .. mi nasimama na ahadi yake
Yote ni siri ya Mungu miss chaga, hakuna mwenye mkataba na Mungu, mtoto anazaliwa leo na anakufa leo, kesho itabakia kuwa ni siri ya Mungu.
 
Watu wa JF hebu kuweni serious. Mwenzenu anahitaji msaada nyie mnamkebehi? Kwanza Genta jiweke karibu na Mungu. Ukiwa karibu na Mungu utakuwa na uhakika kwamba atakulinda
Jambo la pili: Hata kama hizo radi ni za kutumwa (which I doubt very much because if it were so you would now be DEAD), kama ni za kutumwa basi anayezituma anakutishia tu. Jini la radi lisingekuacha. Ondoa hofu. Sali ukimpa Mungu shukrani kwa kukulinda. Labda Mungu anataka uache njia yako fulani mbaya. Tafakari ni baya gani umefanya kisha utubu kwa Mungu ukiweka ahadi kwamba hutarudia tena. Utaona mambo yataisha
 
Hiyo radi unayoiona na kuisikia inapiga mbali sana na hapo ulipo.Fahamu kua apigwae na radi hua haisikii Kama ukipona utashtukia uko hospitali tu.Usicheze na radi ndg.Ila Kama una tabia Mbaya uache Mara Moja.
 

Amina Mtumishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…