Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Jamani kwenye hii Dunia tunakutana na mambo mengi ya kuboa ila hakuna kitu inaboa kama kuwa na rafiki mbishi, aseee yeye hata kama una point zenye mashiko ataleta ubishi.
Kingine wakuu, mtu mbishi anaboa zaidi pale ambapo unakuta anabisha huku anacheka; aiseeee Wahaya mnatabu!
#TUOE
#KATAA USINGLE
#ZAENI
Kingine wakuu, mtu mbishi anaboa zaidi pale ambapo unakuta anabisha huku anacheka; aiseeee Wahaya mnatabu!
#TUOE
#KATAA USINGLE
#ZAENI