Jamani kuna watu wabishi!

Jamani kuna watu wabishi!

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2021
Posts
4,226
Reaction score
8,879
Jamani kwenye hii Dunia tunakutana na mambo mengi ya kuboa ila hakuna kitu inaboa kama kuwa na rafiki mbishi, aseee yeye hata kama una point zenye mashiko ataleta ubishi.

Kingine wakuu, mtu mbishi anaboa zaidi pale ambapo unakuta anabisha huku anacheka; aiseeee Wahaya mnatabu!

#TUOE
#KATAA USINGLE
#ZAENI
 
Jamani kwenye hii dunia tunakutana na mambo mengi ya kuboa ila hakuna kitu inaboa kama kuwa na rafiki mbishi aseee yeye hata kama unapoint zenye mashiko ataleta ubishi

Kingine wakuu mtu mbishi anaboa zaidi pale ambapo unakuta anabisha huku anacheka aiseeee WAHAYA MNATABU

#TUOE
#KATAAAA USINGLE
#ZAENI
Waha na Wapemba wakikuelewa kwa ubishi niite Rais wa dunia nimekaa pale [emoji117][emoji87]
 
Jamani kwenye hii dunia tunakutana na mambo mengi ya kuboa ila hakuna kitu inaboa kama kuwa na rafiki mbishi aseee yeye hata kama unapoint zenye mashiko ataleta ubishi

Kingine wakuu mtu mbishi anaboa zaidi pale ambapo unakuta anabisha huku anacheka aiseeee WAHAYA MNATABU

#TUOE
#KATAAAA USINGLE
#ZAENI

Hapa hapa lazima wabishi uwaone
 
Back
Top Bottom