Sasa usipochaguliwa ww achaguliwe nani mwingine? Kwa mwenya matokeo makali zaidi ya hayo na kwao wakiwa na vijisenti kidogo basi hutaka kwenda private kali zaidi kama feza au marian. Kwahiyo serikali inakosa wa kuwachagua so ni lazima wakuchukue tu... wewe kwa sasa jiandae na shule ya govent bt ni bush huko e.g kwiro au kigonsera