Jamani kwa mkeka huu lazima nipige mpunga, mnasemaje?

Sikukatishi tamaa.. Siku zote kabla ya kubet unaona utatusua, hakuna pakukosea ila game zikichezwa utachoka mwenyewe..

By the way kubet ni zali.. Chochote cha weza tokea
 
Kubet ni jambo gumu sana...maana wanasemaga mpira hudunda hivyo hata kubet kunadunda! Ili kubet kuwe rahisi fanya kama unajifurahisha tu...usitolee macho! Maana kuliwa ni kwingi kuliko kula...siku ukitusua iwe shangwe! Tena uwe unalenga kumla ngamia na siyo kuku...(ule fedha nyingi)
 
Unawachukulia poa Young boys wakati wako nyumbani... [emoji41]
 
Wapelekee uzi wako wazee wa kubet wana Uzi wao special huwa ni watabiri kama waganga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…