Ili iwe sokoni inabidi iwe si chini ya miaka 20 chekiana na crdb huwa wanatoa mkopo kwaajili ya matunzo ya shamba upo wapi tz hii coz muheza na moro ni zao linaloshamiri sana au pia waweza kwenda muheza tanga kule kuna makampun ya kimataifa yana deal na mitiki utapata abc's