jamani kwa wanaojua horticulture

jamani kwa wanaojua horticulture

merali

Member
Joined
Aug 31, 2012
Posts
30
Reaction score
4
hv wazee hii kozi utaajiriwa wapi na inakuaje kuhusu ajira inasumbua au vp?
 
Kozi ya mbogamboga na matunda!Usihofu mkuu soko lao la ajira ni sawa na kozi nyingine za kilimo.Hivyo kazi za maafisa ugani kilimo,utafiti kilimo na ututor katika vyuo vya kilimo na hata ualimu wa shule za sekondari somo la kilimo unaqualify. Pia unaweza kujiajiri kwa biashara ya maua na utunzaji/utengenezaji bustani kwenye mahoteli au nyumba za watu.Akili kumkichwa tu mkuu!
 
Hyo kozi uliiomba kwa kupenda au ni ili tu upate mkopo mdau?
 
sawa mkuu kwa jibu lako vp kuhusu food science and technology?
 
ni mkopo na pia nilijaribu kufikiria deep kwa nn serikali itoe mia kwenye hiyo koz bac nikaja na jibu kwamba itakuwa na market mpaka ikapewa mia dat was my suggestion
 
sawa mkuu kwa jibu lako vp kuhusu food science and technology?


Hata food sciences anafanyakazi kama mgani,mtafiti au tutor wa kilimo lakini wana added advantage ya kuajiliwa kwenye viwanda vinavyotengeneza vinywaji na vyakula.Pia wanaajiriwa sana na TFDA na TBS.
 
vp pia kuhusu agronomy ina uhusiano gani na horticulture
 
co hivyo kk nilijua nilichojaza but nilijkua nataka kujua khs future yake lkn pia hiyo priority ilinipa moyo kwa nn koz nyingine zcpewe kama co dil
 
Back
Top Bottom