Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
jamani kwa wale...wanaosikilizaga redio ....inshu yoyote ikitokea mzee kibonde na gerald lazima wazungumzie
utasikia jamaa wanaongea....na kuishia kucheka...sasa tokea litokee hii inshu ya jide na clous media....nilitegemea hawa
wajomba...lazima wacomment kitu...ila ukiona mpaka sasa wako kimya,bwebwe zote wameshidwa kuongea
HUYU DADA NI BINTI COMMANDO...
utasikia jamaa wanaongea....na kuishia kucheka...sasa tokea litokee hii inshu ya jide na clous media....nilitegemea hawa
wajomba...lazima wacomment kitu...ila ukiona mpaka sasa wako kimya,bwebwe zote wameshidwa kuongea
HUYU DADA NI BINTI COMMANDO...