Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,217
- 3,694
kibonde c ni google,bado hajaijua ishu ya jide A to Z,mana hakuna hasichokijua kibonde
Sio kila kitu kinazungumzwa, Jide ni shemeji. Gadna kila siku yuko Clouds FM kufanya matangazo, so hawawezi kumchana Jide. Matangazo yote ya vipindi Clouds Gadna anafanya 77.9%.
Angekuwa na uwezo huo, angeanza kuwalipa vizuri wafanyakazi wake.Hatoke mara ngapi??? Jide ana uwezo kuwalipa hao wanaobwabwaja redion mara tatu ya huo mshahara wanaoupat apo wafu
binti komando anawaumiza sana akili hao clouds na vibaraka wote wa ruge.
kibonde c ni google,bado hajaijua ishu ya jide A to Z,mana hakuna hasichokijua kibonde
Mkuu umeongea!huyu jamaa kila kitu anajua yeye!mpira yeye,siasa yeye,dini yeye,malezi ya watoto yeye,habari za mjini yeye!yan kawafanya wale wenzie kama vibaraka tu pale wanamsikiliza yeye
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Wana "journalistic integrity" ya kuacha kuripoti habari inayowahusu kwa kuhofia kuvutia ngozi kwao tehe tehe tehe /s.