Jamani leo Ijumaa bata wapi

Same here!

Sidhani kama kuna kona ya Dar ambayo sijaigusa kwa sababu ya wachuchu!

Nimewekeza katika wilaya zote za Dar!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama tabata.. [emoji23][emoji23]

Tabata yote nadhani nshaimaliza.

Si unajua zipo Tabata nyingi nyingi....sijui Tabata Bima...Tabata Segerea...Tabata Relini....kote huko nshapita.

Kinyerezi huko nako tayari.

Kuna sehemu inaitwa Kinyantira sijui....huko nako tayari.

Pugu nako nshawekeza. Msanga huko nako tayari.

Bunju nilishagawekeza siku nyingi sana.

Sasa nataka nihamie Nyegezi, Mwanza huko.
 
Hahaahahaaaa. Baki Dar
 
Naondoka Liquid. Pazuri kwa kweli. Lily na dadake wamejitahidi

Ila Mzigua hiyo bar hopping haikuchoshi kweli?

Mi nikiendaga sehemu moja nakaa hapo hapo na nikitoka narudi zangu nyumbani.

Bar hopping siiwezi. Sijui ndo uzee....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…