MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
<br />Achacheni nae. Mkiweza unganisheni nguvu za kiuchumi nyie wanne na mumsaidia mama yenu.
<br /><br /><br />
<br /><br />
wamuache kabisa sio kusumbua mtu na familia yake.
<br />wala!!! inaelekea nyie mmemzoea vibaya huyo kaka yenu, mpo wa5 lakini cjackia mkijichanga kumpa mama msaada, ooh,kaka katoa 50,kaka anunue jiko.... wifi yako mjanja bwana,akiwaendekeza mtamrudisha kijijini wakati mjini patamu.....loh!!!mmezidi.. umeolewa dada?? embu olewa yakukute ww uone utafanyaje,tena ww ndo unaweza ukamfungia huyo mumeo hata kwenda kwao kama ukijua kuwa akienda 2 lazima arudi m2pu,na lyf hii ya bongo she z veeeeeeeeery right.
<br /><br /><br />
<br /><br />
kweli kabisa, coz mnaonekana kama kunalo mnalolitafuta zaidi.....
<br />let me remind u kuwa mwanaume atamwacha mama yake na baba yake nea ataambatana na mkewe same applied 2 a woman, nao watakua mwili mmoja,so sasha girl,mwili mmoja hufanya jambo moja, kaka yako hana tym ya kuwasaidia,so her wife..... ''pesa c ishu' hahahahhahaaaaa...kwenu nyie,ni issue,tena bonge la issue mamaa,tht z y ikakutach ukasend thread jf. anyway,poleni kwa matatizo
ninakaka yangu wa pekee ktk familia ya watu 5.ameoa mwanamke wa kioldmoshi.jamani dada huyo hafai.kwa uchoyo,mdomo na ubinafsi.kuna siku kaka yangu alitoa elfu 50 kumpa mama yangu imsaidie amefanyiwa oparation .mwanamke akachapa lapa kwao.yani hataki msaada wowote uende kwa mama yangu.ameshatusababisha ndugu wote tugombane na kaka yetu.ili aweze kufaidi peke yake kwa kumtawala.juzi mama yangu aliomba pesa ya kununua jiko kwa kaka.mkewe akatuma msg kwa mama.kwamba mumewe anabanwa sana na ujenzi kama hana mahali pengine pa kupata hela akavunje mahali aibe.ikabidi ndugu tuingilie kati kumuuliza wifi yetu kulikoni jamani anatutukania mama yetu aliyetulea kwa shida toka afariki baba yetu miaka 23 iliyopita.cha ajabu kaka alisaport alichokifanya na kukisema mkewe.yaani tumebaki midomo wazi. Na mshangao juu.jamani huyu kaka kalogwa au ni upoyoyo wake mwenyewe?
<br />masuala ya mama yeni mnapaswa nyinyi wote watano mkae na kupeana majukumu<br />
ya nini kifanyike na nani afanye<br />
<br />
sio kumshutukiza mtu mmoja mwenye majukumu yake mengine tayari
<br />yani ur a real man.bwana hakuna kama mama.hata hivyo tupo wa 4 tunampa taf mother.huyo wakiume amegoma tumempotezea.ila najua one day atajuta sanaheshima kitu cha bure,huyo wifi hakumjibu vizuri mkwewe,hata kama huyo kaka hana,angemjibu kistaarabu.juu ya yote,inaonyesha hampatani na huyo wifi,iliyobaki,kuweni wamoja,nyie wenyewe jaribuni kumsaidia mama yenu.na msisahau kumuelezea kaka yenu,mlivyolelewa na mama yenu kwa shida,mpaka hapo alipofikia.mimi huna vya kuniambia kuhusu mama yangu.namsaidia na ninajivunia kwa hilo
<br />hata cc wote tuna familia zetu tena tumeolewa wote tunatunza familia ukweni na nyumbani pia but kwa mwenzetu wa kiume sasa.utata ndo uko hapo.mbishi kama nyama ya goti.yani tumemchoka na kumpotezeaKaribu jamvini na pole sana ila nikushauri, kama kakako kashaoa mwachie aendelee na maisha yake ye na familia yake. Ni kawaida akioa au kuolewa huwezi kuendelea kutegemea kuwa ile intimacy alokuwa nayo kwenu itaendelea kuwa ileile. Endelea tu na maisha yako ndugu yangu mwacheni kakenu abaki na familia yake, <br />
<br />
Hajalogwa hata kidogo ila "wamekuwa mwili mmoja na si wawili tena". Niwe muwazi ukiendelea kumfuatilia kakenu mtasumbuka bure jamani. Mwacheni ashakuwa mtu mzima na ana anafamilia sasa. Pole kama nimekukatisha tamaa ila najaribu kukueleza ukweli ili uutulize moyo wako!
Hata kama wanajenga huyu mwanamke hana adabu kabisa. Ni kosa kubwa sana kumjibu mkweo dry. Kwa nini hakuacha mumewe ajibu? Huyo atakua hana adabu si kwa mwewe tu ndivyo alivyo lelewa. Mwacheni akenue iko siku atamfata mama mwe anatambaa.
Kujenga kujenga nini bwana. Elfu hamsini ndiyo itafanya ujenzi usiendelee? Tena wale wenye moyo wa kutoa ndio wenye maghorofa.
Na wanaosema eti huyo mama angemuomba wife hiyo ela kweli mnaona haki mnachosema? Huyo mume ndiye mwanae akimuomba ela ni sawa kabisa. Na kama angekuwa na imani na huyo wife na anajua ana kipato basi angemuomba wife ni sawa pia.
You don't need to fight with your inlaws to prove that you have power and contol over your husband.
Wakati mwingine ndoa zinakuwa na maugomvi yasoisha kumbe kuna watu wanalalamika na Mungu analipa hapa hapa. Huyu ni mzazi lazima apewe nafasi yake. Na yeye ni mke na ataendelea kuwa mke tu. hawezi ku replace mama
Taratibu mama yangu mwe............unajua the way alivyoiweka mtoa mada ni wazi kuwa mahusiano yao si mazuri na hatujui imekuwaje yakafika hapo yalipofikak. Mytake inawezekana kabisa huyu mke amekuwa provoked kwa muda mrefu na kwa kila aina ya ushari sasa kaamuwa kuwatolea uvivu......... besides amemjibu mkwewe kuwa wanajenga mie nampa benefit of doubt (ndio si heshima kumjibu dry mkweo) but tungejua pia heshima anayojipa huyo mkwe!! Kusema ukweli maisha ya ndoa/uhusiano kati yangu na mkwe wangu nategemea uwe wa kirafiki sana tu awe mama yangu...........kitendo cha yeye Mama Mkwe kwenda kumlilia mume wangu shida pasipo mie kujua kinanipa utata kidogo (samahani kama mie nimelelewa tofauti mtanisamehe) but ningetegemea kuwa hiyo operation mie mwanae ninajua na shida yoyote we talk na saa ingine hana haja ya kuomba.
Tutamjudge huyu mke kwa kosa la kujibu dry (si heshima ndio) but also hatutampatia Sasha sympathy kwa kuwa hatuujui upande wa pili wa shilingi nyumba ndogo,
Hilo la Mama mkwe kumwomba mwanae pesa bila mkwewe kujua,........ ni thread ya peke yake. Na kama si tatizo iweje basi aloombwa akalifikishe tena kwa mkewe???!! au ndo mtasema karogwa??
Mimi naongelea uzoefu nilonao. Sioni tabu yoyote mama mkwe kumuomba mwanae ela, kunioa mimi haina maana kuwa mama yake hana haki ya kuongea na mwanae directly. Na in most cases mume wangu mamake akimuomba ela basi atanambia wife mama anaomba kiasi kadhaa. Sasa hapo nitakasirika nini? Kuwa nimedharauliwa? Kuwa mimi ndiye niliyetakiwa kuombwa si mwanae? That sounds like saying a wife is a boss in the house and anyone who needs something from my hubby should talk to me first. Which is wrong!
Na kitakachofuata hapo mkaka akianza kujitambua ataanza kupeleka ela kwao kwa siri kwani mkewe ameshaonyesha kuwa apendi.