Lol mwanaume umbea kusutwa inakaribia kuwa suna....
Teh kwani unataka kumiliki wote?
Lol mwachie basi Eliza wa Tegeta Bishanga wake
Teh hofu yangu na Kamugisha nae akiji LOCATE Unga Ltd nani atalala sebuleni....lolKwani mi nilimnyang'anya?
Kaja mwenyewe, na mie sikufunzwa kufukuza mgeni.
Kwani mi nilimnyang'anya?
Kaja mwenyewe, na mie sikufunzwa kufukuza mgeni.
JG wewe uende mwenyewe Husny umuache wapi?Mmmh!
Hapa sijaelewa, ndiyo kusema na mie nikija sitofukuzwa
Ntapokelewa ?
JG wewe uende mwenyewe Husny umuache wapi?
Lol naona una hamu ya kuachika au nawewe ukikaribishwa hukatai?
Teh hofu yangu na Kamugisha nae akiji LOCATE Unga Ltd nani atalala sebuleni....lol
Konnie ile heshima yetu hamna tena? Aiseeee!!!Heh, kuna mtu kaiba pasiwedi ya Lizzy?
Leo na yeye kawa maharage ya Mbeya 🙂
Ta Kamugisha, katambikie ulikopita leo na hongera sana.
Konnie ile heshima yetu hamna tena? Aiseeee!!!
JG wewe uende mwenyewe Husny umuache wapi?
Lol naona una hamu ya kuachika au nawewe ukikaribishwa hukatai?
Halafu ni kama hajui kama kapigwa chini kwa muda eeehMbona Husy kampiga chini kwa muda
yuko na pedeshee maaefum hapa mji wa chit chat
Dah ngoja JG akija uone varangati lake toka kwa Husninyo....We hilo sio tatizo lako wala lao. . .nimeshapanga kila kitu.
@ J. . . .Hahaha hapana. Napokea wale wenye HERI tu na sio wenye SHARI.
Ujue mie nina wivu kwa wifi yangu sana.
Roho inauma kuliko hata braza mwenyewe.
Nikimbie kwani mambo yao yananihusu?Dah ngoja JG akija uone varangati lake toka kwa Husninyo....
Lol lazma ukimbilie kuomba msaada kwa jirani maana wanasema:
Problem ni: 3 Men 1 Lady
Challenge ni:3 Ladies 1 Man
So kwa hapo kwako itakuwa ni problem kubwa sana mtaa utachafukia lol
Hahahahahaaaaa aisee hii njia ya kujitetea ni mpya sana LolB52 umenifanya nimwage siri za ndani kuepuka kumjeruhi my wife!
My wife pregy yake ni Ectopic (imekaa nje ya mfuko) madaktari wanataka iwe aborted, so njia rahisi wamenishauri apate mishtuko huenda akapata easy miscarried ! Hapa umeniharibia dawa! Ndo ilikua moja ya mastuzi !
Sasa utawaangalia wanatoana meno?Nikimbie kwani mambo yao yananihusu?
Najituliza kwake kasuku eeeeeeh sitaki manenooooo......sitaki manenooooo..anachopata kinamtosha eeeeeeh daima mileeeeleeee eeeeeeh Kasukuuuuuu eeehbora mie nimetulia kwa Smile
Mbona Husy kampiga chini kwa muda
yuko na pedeshee maaefum hapa mji wa chit chat