Hahahahaaaa aise nimecheka sana JGKongosho nafikiri hujawahi kurogwa eeh !
Ukirudia maneno sampuli hii shauri yako !
Ungekua He nakushusha shipa!
Bt kwa vile nna uhakika ni She nakushusha mtindi !
Na hutopata size ya Sidiria hadi siku ya kiyama! Utaishia za kushonesha !
Nilikuloga juzijuzi hapa ukawa Maziwa mtindi , umesahau ?
Hahahahahahaha Ta Kamugisha bana. . .asante sana kwakunikumbusha hii kitu. Ngoja nimuombe mtu nauli alafu akishakubali tu namzingua nayo nione reaction. . . Lolzzz
Nwy hongera kwakufanikiwa kutuma pesa ya stamp na bahasha, FINALLY, maana ndivyo vilivyokuwepo kati yako na barua.
Akupendae daima,
Lizzy.
kazi gani tena hiyo alomaliza dubu?
@amy. . .
Hata sipingi mwaya. Niliandika na kuituma mwenyeweeee.
Najituliza kwake kasuku eeeeeeh sitaki manenooooo......sitaki manenooooo..anachopata kinamtosha eeeeeeh daima mileeeeleeee eeeeeeh Kasukuuuuuu eeeh
wala hayajakaa kibeberubeberu! Yamekaa kikike hasa!
Namuonea gele ajabu kuibua hata mie kwa mbaali nilikua nammezea mate !
Kumbe wakubwa wanafaudu !
Kongosho nafikiri hujawahi kurogwa eeh !
Ukirudia maneno sampuli hii shauri yako !
Ungekua He nakushusha shipa!
Bt kwa vile nna uhakika ni She nakushusha mtindi !
Na hutopata size ya Sidiria hadi siku ya kiyama! Utaishia za kushonesha !
Nilikuloga juzijuzi hapa ukawa Maziwa mtindi , umesahau ?
Ha ha ha ha ha, Mh, don't be happy, you might have worn sex, but this is temporary victory.
Kina nani hao kwanza? Umenipoteza.Sasa utawaangalia wanatoana meno?
Lol utashangaa watakapokubaliana kuleta amani na upendo na kukubali mmoja kuwa Nyumba Kubwa,mwingine ya Katikati na mwingine Ndogo.....Teh ila wote wanakuwa sambamba kwa kila kitu...kama mtoko basi maandamano na kama kulala maandamano...teh
Acha umbea wewe. . . Ntakuvisha sketi.
Hahahahaaaa aise nimecheka sana JG
Hebu mdunde awe NYAMA CHOMA maana leo weekend nyamaa choma muhimu....
Hahahahaaa eti akawa Maziwa ya Mtindi Lol
Kongosho umekamatika hapa kwikwikwikwikwiiiiiiiiiii
...kweli, faraja jipe mwenyewe.
woooooooo wiiiiiiiiiiiiiiii weweeeeeeeeeeeeeeeeeee wenye wivu wjinyonge, full maandalizi kwa ugeni
woooooooo wiiiiiiiiiiiiiiii weweeeeeeeeeeeeeeeeeee wenye wivu wjinyonge, full maandalizi kwa ugeni
Kwani mi nilimnyang'anya?
Kaja mwenyewe, na mie sikufunzwa kufukuza mgeni.
Teh hofu yangu na Kamugisha nae akiji LOCATE Unga Ltd nani atalala sebuleni....lol
Embe dodo embe dodo limelala mchangani kwa huba na mazoea uwe wangu wa milele.....malaika nakupenda malaikaa... aaah sorry!
Smileee... nakupenda Smileee... mimi nifanyejeee... mkubwa mwenzio... naweza na mali ninayo weee... NAKUPENDA SMILE
Mmmh!
Hapa sijaelewa, ndiyo kusema na mie nikija sitofukuzwa
Ntapokelewa ?
Teh yan unahangaika kumtumia nauli wakati wenzako wajanja washaweka kambi Unga LTD unadhani ataweza kuondoka?Jamani hii ngoma ni BK moja hakuna cha kwenda UNGA LTD hapa, haujaona kuwa namtumia nauli ya kuja huku?
Wamegaji huwa hawabwabwaji
Huko huko ndo na Bishanga anakotokea....Jamani hii ngoma ni BK moja hakuna cha kwenda UNGA LTD hapa, haujaona kuwa namtumia nauli ya kuja huku?