Jamani " lizzy" utaniua kwa barua yako tamu

Anachotakiwa kukumbuka ni kwamba, Lizzy ni kifupi cha Elizabeth.
Na mimi huwa nina tabia ya kumpigia Lizzy simu kila siku kuanzia saa 6 za usiku.....

Hahaahaha. . . Siwezi kumKanumba maana ananiamini sana.
 
Lizzy upo wapi siku hizi mama? Umenitenga na kunisusa! Tokea uje kunitembelea hutaki tena kunisalimia! Tafadhali popote ulipo nakutafuta, mpaka kwenye magazeti nimetangaza na sijapata jibu
 
Last edited by a moderator:
Lizzy upo wapi siku hizi mama? Umenitenga na kunisusa! Tokea uje kunitembelea hutaki tena kunisalimia! Tafadhali popote ulipo nakutafuta, mpaka kwenye magazeti nimetangaza na sijapata jibu
Hahahahaha. ..
Aisee kitambo sana.

Ta Kamugisha umenitafuta wapi ukanikosa bana?! Njoo UngaLTD utanikuta nimejaa zaidi ya maji baharini!!!!
 
Last edited by a moderator:

Daha hatari sana, kitu cha long time
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…