mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 627
Unanikumbusha jamaa yangu mmoja (rafiki yangu) kutoka majuu (mzungu) alikuja kunitembelea. Katika kuzungukazunguka kumbe jamaa anawacheki watoto wa kibongo! Hakuvumilia mwisho aliniambia wazi wazi kwamba Tanzania mna wanawake wazuri sana. Nimeangalia wasichana mpaka nimewakubali. Akasema angekuwa hakuoa angeoa TZ. Kwa bahati mbaya alishaoa na alikuwa na mkewe hapohapo. Basi ndo ukweli naona. Tumshukuru Mungu kwa uumbaji wake!![/QUOTE]
Sasa mbona miss world wanakula mkia kila siku?
Unanikumbusha jamaa yangu mmoja (rafiki yangu) kutoka majuu (mzungu) alikuja kunitembelea. Katika kuzungukazunguka kumbe jamaa anawacheki watoto wa kibongo! Hakuvumilia mwisho aliniambia wazi wazi kwamba Tanzania mna wanawake wazuri sana. Nimeangalia wasichana mpaka nimewakubali. Akasema angekuwa hakuoa angeoa TZ. Kwa bahati mbaya alishaoa na alikuwa na mkewe hapohapo. Basi ndo ukweli naona. Tumshukuru Mungu kwa uumbaji wake!![/QUOTE]
Sasa mbona miss world wanakula mkia kila siku?
Jamani nimezunguka baadhi ya mikoa ya Tanzania na nimewaona warembo wa kila aina, Lakini warembo ambao nawaona ndani ya Bongo,si mchezo jamani!
Kila ninakopita ni balaa tupu! yaani kila mmoja ni mzuri na anavutia kivyake. Pindi nimalizapo kumshangaa demu wa kulia kwangu'nikigeuka tu kushoto, mwingine huyu close yangu!.
Yaani utasema wanashushwa toka angani! Hebu nisaidieni wandugu hiki ni nini? Au ndio ushamba wangu wa mkoa?
Jamani nimezunguka baadhi ya mikoa ya Tanzania na nimewaona warembo wa kila aina, Lakini warembo ambao nawaona ndani ya Bongo,si mchezo jamani!
Kila ninakopita ni balaa tupu! yaani kila mmoja ni mzuri na anavutia kivyake. Pindi nimalizapo kumshangaa demu wa kulia kwangu'nikigeuka tu kushoto, mwingine huyu close yangu!.
Yaani utasema wanashushwa toka angani! Hebu nisaidieni wandugu hiki ni nini? Au ndio ushamba wangu wa mkoa?
Jamani nimezunguka baadhi ya mikoa ya Tanzania na nimewaona warembo wa kila aina, Lakini warembo ambao nawaona ndani ya Bongo,si mchezo jamani!
Kila ninakopita ni balaa tupu! yaani kila mmoja ni mzuri na anavutia kivyake. Pindi nimalizapo kumshangaa demu wa kulia kwangu'nikigeuka tu kushoto, mwingine huyu close yangu!.
Yaani utasema wanashushwa toka angani! Hebu nisaidieni wandugu hiki ni nini? Au ndio ushamba wangu wa mkoa?