Jamani Madonna!

illuminati hawajamchoka bado.

walimtumia whitney wakamchoka wakamuua, wakamreplace na kina beyonce rihanna nicki etc. huyu nae mkija kuskia kafa kifo cha ajabu tusishangae,koz mrithi wake lady gaga ashapatikana.

its just a matter of time.
 
Salamander

Duh!, mkuu umeamua ku zoom in kabsaa!,....lol! Halafu watoto wake wakubwa tu sasa, Madonna is nuts!
 
Last edited by a moderator:
illuminati hawajamchoka bado. walimtumia whitney wakamchoka wakamuua, wakamreplace na kina beyonce rihanna nicki etc.

Huyu nae mkija kuskia kafa kifo cha ajabu tusishangae,koz mrithi wake lady gaga ashapatikana. Its just a matter of time.

Porojo!
 
Ujalazimishwa kusoma wala kucomment ndugu...

Kuna mijitu mingine huwa haiamini kama hayo mambo yapo kwa sababu haitaki kujifunza na kufatilia mambo ya ulimwengu yanaendaje ndio maana inaishia kusema ni


POROJO TU
 
kuna mijitu mingine huwa haiamini kama hayo mambo yapo kwa sababu haitaki kujifunza na kufatilia mambo ya ulimwengu yanaendaje ndio maana inaishia kusema ni


porojo tu

they are too afraid of the truth bro.but as long as ni a free world everyone is entitled to follow or believe what one wishes.
 
Bibi bomba katisha,kwa ulaya/usa unaweza ukasikia ni moja kati ya woman with big ass.
 
wekeni na nyie tutako twenu tuone,km hatujakimbiana humu?:lol::lol::lol::lol::lol:...for a woman her age,she is doing great....sijui ndio mazoezi au yoga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…