Hebu thibitisha kuwa yapo.Kuna mijitu mingine huwa haiamini kama hayo mambo yapo kwa sababu haitaki kujifunza na kufatilia mambo ya ulimwengu yanaendaje ndio maana inaishia kusema ni
POROJO TU
Picha tafadhaliKwenye kili music award wema alianika mamchina nje so, wema in tz=Madonna.
Hahah mkuu anajaribu kuuridisha umarufuu lkn wapi raia washa mchoka..daaahh umaarufu unatafutwa jamani
Duh! mung'unya hata likikomaa linaweza kuharibika tu!daaahh umaarufu unatafutwa jamani
Sio wema ni Faiza Ally. Mke halali ya mbungeKwenye kili music award wema alianika mamchina nje so, wema in tz=Madonna.
Jani la njano linaweza kucheka jani kavu?Mzee sugu huyu umri wa wazee wa kitambaa cheupe