[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo Lulu nation nilishindwa vumilia nikamuambia dada mbona mbovu sana halafu kutwa kusema watu.? Halafu una njaa sana kwanini usikae huo muda ukawa unatafuta hela ujikwamue kiuchumi uwiiii nilishushuliwa ikafuatwa block[emoji23][emoji23][emoji23]Wabovuu vibaya mnooo!kama wale kina lulu nation kujifanya walikua wanaponda watu wenyewe sura kama hovyooo sasa hivi hachambi tena,yule carry nae wa hovyooo kichizi,yule cpffe table sasa wa kawaida sana!
ππππNext time huyu Bashite akae mbali na timu yetu ya taifa, hatutaki uchoko.
Hahaaa...!!!!!!wanapiga bloku balaaa... Umemuina katibu wa wambea alivyo wa ajabu!!sijapata onaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo Lulu nation nilishindwa vumilia nikamuambia dada mbona mbovu sana halafu kutwa kusema watu.? Halafu una njaa sana kwanini usikae huo muda ukawa unatafuta hela ujikwamue kiuchumi uwiiii nilishushuliwa ikafuatwa block[emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaaa...!!!!!!wanapiga bloku balaaa... Umemuina katibu wa wambea alivyo wa ajabu!!sijapata onaa
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwani huyo pilipili ni nani?
Anauza pilipili?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]