Jamani mbona maisha magumu?

Tunajenga nchi, hiki kizazi lazima kifanye kazi kana manufaa ya kizazi kijacho namaanisha wajukuu.. Usitegemee utakuwepo mwisho wa hii hali..
 
Mbona mambo mazuri tu jamani...shang we tupu...
 
Ila metembele matamu asee kwa mpish mzuri,..na kaugali ka dona yelewii au wali na kisamvu cha nazi,..dah
mimi hizi mboga nimezikuta mjini lakini kila matembele nayala mara kwa mara .. kisamvu jumapili na utumbo na ugali jaribu uone unaweza maliza ugali wa watu watatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…