madala mujipa
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 1,417
- 862
salaam wadau
Jamani hili swala si la ubishi ia ni ukweli halisi ulio dhahiri makalio ni kitu adimu na kiburudisho kikubwa kwa mafisi uchu,
na ujue ni tunu kwa wengine wapo kama kabati hawana kitu
ila tatizo sasa mbona hayapewi umuhimu kama uso maana utakuta makalio yana chunusi kiasi mpenzi hataki kugeuka
kisingizio ooh utanifanya mchezo mbaya,chonde chonde hebu tuyape umuhimu kama uso tuyanunulie cream za kuondoa chunusi sema wengine ni kauzu yeye hajali ni kifudi fudi utajali wewe
Kina dada tuyape umuhimu nayo yawe na bajeti yake
Jamani hili swala si la ubishi ia ni ukweli halisi ulio dhahiri makalio ni kitu adimu na kiburudisho kikubwa kwa mafisi uchu,
na ujue ni tunu kwa wengine wapo kama kabati hawana kitu
ila tatizo sasa mbona hayapewi umuhimu kama uso maana utakuta makalio yana chunusi kiasi mpenzi hataki kugeuka
kisingizio ooh utanifanya mchezo mbaya,chonde chonde hebu tuyape umuhimu kama uso tuyanunulie cream za kuondoa chunusi sema wengine ni kauzu yeye hajali ni kifudi fudi utajali wewe
Kina dada tuyape umuhimu nayo yawe na bajeti yake