Usilolijua kwako ni kama usiku wa giza. Utajaribu kutaka kunifahamu usiweze na utabaki ukibashiri lakini hutoweza kunijua mimi ni nani. Baki ulivyo na mimi sina haja ya kukujua nungunungu yawezekana una id kibao hapa na hasa yaweekana wewe ni yule yule kanda 2. Pole sana.Wewe Wilfred Rwakatare nani kauuliza PR ya uliko? Njaa yako itakumaliza mwaka huu.
Unadakia nini? sikukuuliza wewe. Sasa Kihelehele tu cha nini?!umeacha kilichokuleta na kutoa hoja unaanza udaku....anyway tutafika tu.
Mbona unajibu kwa jaziba mkuu? Hii sio kawaida yako. Au kuna mtu kaiba password yako nini?Wewe inakuhusu nini kujua mambo yangu? Sikujui hunijui hata nikikwambia ninayo na labda nimeshachukua na uraia inakusaidia nini wewe!? Duh! watu wengine jamani! 😕
...babu nilitegemea kwa sababu unaishi nchi za watu na kuelewa misekeseke ya wahamiaji wanayo go through labda ungekuwa more lenient na wahamiaji no matter where bro,ni rahisi kuongea tuu lakini nina uhakika path to legal resident ni ngumu sana na haiko clear kwa wahamiaji kwa nchi kama TZ na ukiongeza na rushwa basi ni next to imposible,kweli nawahurumia sana wahamiaji hawa,jamani hebu tuwe more compassionate na hawa watu maana wengi wanakuwa wamekimbia matatizo huko kwao au kutafuta unafuu wa maisha tuu,wengi wao sio criminal .
Mbona unajibu kwa jaziba mkuu? Hii sio kawaida yako. Au kuna mtu kaiba password yako nini?
Mimi nimeuliza kwa nia nzuri kufuatana na jinsi ulivyojibu post yangu. Nilitaka twende kwa kuelewana ili uitetee vizuri post yako. Basi bwana yaishe!
Did somebody say that from July 1 EAC subjects will be allowed to roam. acquire land and work freely within EAC ?
Is this the deal or am I just hallucinating?