Pole sana,meno huwa hayatoboki siku 1 na kuanza kuuma,yanaanza kutoboka lakini ni painless until cavity inapofika kwenye sensitive areas of the tooth,dentine na pulp..muone dentist as early as possible kuzuia progression ya cavity(restoration).sababu za kutoboka meno
1. Jino lenyewe(kuna % fulani ya watu wana meno yasio imara i.e yenye severe flourosis na mengineyo kama hayo
2. Hali ya usafi wa kinywa
3. Ulaji wa vyakula vya sukari kwa wingi bila kupiga mswaki..na hapo niseme kwamba ulaji vyakula vya sukari pekee hauwezi kusabisha meno kuoza,ila tatizo ni pale mabaki ya vyakula hivyo yanapokaa kwenye meno kwa muda mrefu na kuwapa muda wa kutosha bacteria to turn fermentable carbohydrate into acid ambayo ndio hutoboa jino..kupiga mswaki mara 2 kwa siku asbh na jioni inasaidia sana..adios