JAMANI Messi noma..

JAMANI Messi noma..

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,137
Reaction score
17,908
Baada ya goli la jana alilofunga dhidi ya Getafe katika ushindi wa Barcelona wa mabao 4-0,Lionel Messi amefikisha mabao 61 katika mashindano yote msimu huu.Sasa anamzidi kwa mabao mawili Christiano Ronaldo wa Madrid kwa mabao 2 La Liga.Messi ana 39,Ronaldo 37.Messi ni sooo..
 
Back
Top Bottom