jamani mi ni mpya

pliz members any corperation is highly appreciated

Aliyekuambia sisi Wote humu tumesoma na tunajua Kiingereza nani? Mbona katika Headline umeandika kwa Kiswahili ila huku katika Content umetafuta Sifa ya ki hovyo hovyo? Acha hizo Mkuu na karibu sana ila ujikaze tu uwapo humu na uwe mvumilivu kwani humu kila Mtu anaongozwa na Utashi uliotukuka wa Serikali yake iliyopo katika Ubongo wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…