Hallo wana forum!
Nimekuwa nikifuatilia hivi karibuni mtandao wa www.globalpublisherstz.com, ukiwa na magazeti mengi ya udaku, yap it's good to give us what is taking place in d streets. Lakini hivi karibuni wanaonekana habari zao nying ni kuhusu wanawake wanaojiuza (hookers). Mie napenda kuwapa ujumbe huu kuwa wanachokifanya si kizuri kabisa (not fair at all).
Hawa jamaa inabidi watoke kidogo nje ya TZ wajionee jinsi dunia inavyobadilika kwa kasi. U can never fight against modernisation. Watu wanasafiri like it's crazy, the world is now like a village where a person from very far can move around for a just a short time.
Hawa jamaa wa global wanawadhalilisha sana dada zetu hawajui kuwa habari hizi zinafika mbali sana duniani ukizingatia kiswahili is now everywhere, mie niko asia na watu wanasoma habari zenu, it's really shame.
Labda nianze kwa kuwaelimisha nini maana na tofauti ya 'hooker' na 'prostitute', yaani muuza mapenzi na malaya. Hooker ni mwanamke au msichana anayejitafutia riziki kwa kuwaridhisha wanaume kimwili (yaani sex and the like) kwa exchange ya pesa. Wakati malaya ni mwanamke au msichana mwenye tabia ya kuruka na wanaume wengi ambaye hupenda kufanya mapenzi just for fun na mara nyingi malaya anaweza kufanya sex around kwa malipo ya nothing au just kumpa starehe kama bia n.k., malaya mara nyingi anaweza asiwe na shida yoyote yeye anataka fun tu. Pia malaya yuko katika hatari kubwa ya maambukizi kuliko hooker.
Hivyo hookers are every where in d world now na si kitu cha kushangaza. Hawa hookers wanasaidia sana wale wanaume wasio na wake au girlfriends, hususani wanafunzi na wageni waingiao hapa nchini. Sasa global publishers wanataka wageni wakija hapa TZ wachukue wake zetu au vipi? Hii biashara haiwezi kuisha na hata wao global wanajua kwa sababu wateja wapo na hawataisha, mie nimenunua hookers toka nikiwa mwanafunzi, si tu TZ hookers wako the whole africa, nimekuwa na kuwaona zambia, zimbabwe, south africa, kenya, uganda, botswana, hong kong, england na hata sweden. Rafiki zangu wako america na china wanasema wanaishi kwa kutegemea hookers. Look, a man must always demand sex as part of his life. I believe hata hao global walishanunua hookers in d time of their every day life.
Pia linalouma, wanawapiga picha hookers tu hata wakiwakuta na wanaume it seems kuna mazingira ya rushwa hapa, either mwanaume huwapa hongo na wasimpige picha na kuishia kumpiga picha msichana tu.
Nakumbuka hivi karibuni wamemtoa dada wa watu kwenye bajaji akiwa almost naked hivi kweli hii ni haki? Wanabeijing siku hizi mko wapi mbona mnadhalilishwa hivi!
Suluhishi hapa ni kuwaelimisha hawa hookers elimu ya kujinginga na ukimwi kwa kuzingatia matumizi ya condom. Ninaamini wengi huwa wanakuwa na condom, mie nimewanunua na ninawakuta wakiwa na condom zao.
Tupambane na kukuza uchumi na kuleta maisha bora na utaona hawa hookers na vibaka watapungua ila kwa hali hii hatuwezi kuwalaumu hookers, walaumu wale wapumbavu wanaoingia mikataba ya kijinga kwa manufaa yao binafsi na taifa linadidimia huku wakiendelea kulindana.
Mie i m supporting hookers sababu hawatuibii kama mafisadi na vibaka they only do a fair business.
I urge the govt to protect their dignity and not they way they are humiliating them.
Nakaribisha maoni.
Nimekuwa nikifuatilia hivi karibuni mtandao wa www.globalpublisherstz.com, ukiwa na magazeti mengi ya udaku, yap it's good to give us what is taking place in d streets. Lakini hivi karibuni wanaonekana habari zao nying ni kuhusu wanawake wanaojiuza (hookers). Mie napenda kuwapa ujumbe huu kuwa wanachokifanya si kizuri kabisa (not fair at all).
Hawa jamaa inabidi watoke kidogo nje ya TZ wajionee jinsi dunia inavyobadilika kwa kasi. U can never fight against modernisation. Watu wanasafiri like it's crazy, the world is now like a village where a person from very far can move around for a just a short time.
Hawa jamaa wa global wanawadhalilisha sana dada zetu hawajui kuwa habari hizi zinafika mbali sana duniani ukizingatia kiswahili is now everywhere, mie niko asia na watu wanasoma habari zenu, it's really shame.
Labda nianze kwa kuwaelimisha nini maana na tofauti ya 'hooker' na 'prostitute', yaani muuza mapenzi na malaya. Hooker ni mwanamke au msichana anayejitafutia riziki kwa kuwaridhisha wanaume kimwili (yaani sex and the like) kwa exchange ya pesa. Wakati malaya ni mwanamke au msichana mwenye tabia ya kuruka na wanaume wengi ambaye hupenda kufanya mapenzi just for fun na mara nyingi malaya anaweza kufanya sex around kwa malipo ya nothing au just kumpa starehe kama bia n.k., malaya mara nyingi anaweza asiwe na shida yoyote yeye anataka fun tu. Pia malaya yuko katika hatari kubwa ya maambukizi kuliko hooker.
Hivyo hookers are every where in d world now na si kitu cha kushangaza. Hawa hookers wanasaidia sana wale wanaume wasio na wake au girlfriends, hususani wanafunzi na wageni waingiao hapa nchini. Sasa global publishers wanataka wageni wakija hapa TZ wachukue wake zetu au vipi? Hii biashara haiwezi kuisha na hata wao global wanajua kwa sababu wateja wapo na hawataisha, mie nimenunua hookers toka nikiwa mwanafunzi, si tu TZ hookers wako the whole africa, nimekuwa na kuwaona zambia, zimbabwe, south africa, kenya, uganda, botswana, hong kong, england na hata sweden. Rafiki zangu wako america na china wanasema wanaishi kwa kutegemea hookers. Look, a man must always demand sex as part of his life. I believe hata hao global walishanunua hookers in d time of their every day life.
Pia linalouma, wanawapiga picha hookers tu hata wakiwakuta na wanaume it seems kuna mazingira ya rushwa hapa, either mwanaume huwapa hongo na wasimpige picha na kuishia kumpiga picha msichana tu.
Nakumbuka hivi karibuni wamemtoa dada wa watu kwenye bajaji akiwa almost naked hivi kweli hii ni haki? Wanabeijing siku hizi mko wapi mbona mnadhalilishwa hivi!
Suluhishi hapa ni kuwaelimisha hawa hookers elimu ya kujinginga na ukimwi kwa kuzingatia matumizi ya condom. Ninaamini wengi huwa wanakuwa na condom, mie nimewanunua na ninawakuta wakiwa na condom zao.
Tupambane na kukuza uchumi na kuleta maisha bora na utaona hawa hookers na vibaka watapungua ila kwa hali hii hatuwezi kuwalaumu hookers, walaumu wale wapumbavu wanaoingia mikataba ya kijinga kwa manufaa yao binafsi na taifa linadidimia huku wakiendelea kulindana.
Mie i m supporting hookers sababu hawatuibii kama mafisadi na vibaka they only do a fair business.
I urge the govt to protect their dignity and not they way they are humiliating them.
Nakaribisha maoni.